Tuesday, June 23, 2015

NYALANDU APATA WADHAMINI MKOANI KILIMANJARO

Katibu wa Jumuiya ya vijana wa Chama cha Mapinduzi,UVCCM wilaya ya Moshi mjini ,Joel Makwaia akisalimiana na Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu alipowasili ofisi za CCM mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kutafuta wadhamini .
Nyalandu akisalimiana na vijana waliofika kumdhamini.
Kundi la vijana waliofika katika ukumbi wa CCM mkoa wa Kilimanjaro waliofika kwa ajili ya kumdhamini ,Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu katika harakati zake za kuwania nafasi ya kugombea urais wa Tanzania.
Baadhi ya vijana hao waliojitokeza kumdhamini Nyalandu.
Katibu wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Moshi mjini ,Loth Ole Nesele akizungumza wakati akimkaribisha Nyalandu kuzungumza na iajana hao.
Mke wa Waziri wa Maliasili na Utalii,LAzaro Nyalandu,Faraja Nyalandu  akisalimia wananchi waliofika kumdhamni mumewe.
Waziri wa Maliasili na Utalii ,Lazaro Nyalandu akizungumza na wananchi hao ambao wengi wao ni viajana waliofika kwa ajili ya kumdhamini.
Katibu wa CCM wilaya ya Moshi mjini,Loth Ole Nesele akimkabidhi Waziri Nyalandu fomu ya majina ya wanachama wa chama chama mapinduzi waliojitokeza kumdhamini.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiwashukuru vijana hao waliojitokeza kwa wingi kumdhamini.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment