Friday, June 19, 2015

KINANA APIGA KAZI BUSANDA NA MJI MDOGO WA KATORO LEO, MIKUTANO YAFURIKA MAELFU YA WATU, AACHA GUMZO KWA HOTUBA ZAKE NZITO, NAPE AWANYAMAZISHA WAPINZANI

 
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akiwasili katika viwanja vya stendi kuhutubia mkutano wa hadhara katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama, mkoani Geita, leo. Kulia ni Msemaji wa Chama, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akihutubia mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya stendi katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama, mkoani Geita, leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akisisitiza jambo alipohutuba mkutano huo katika mji mdogo wa Katoro
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, uliofanyika leo katika mji mdogo wa Katoro mkoani Geita
 Nape akisisitiza kuwa CCM ni imara, hivyo itashinda uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kwa kupata kura za kishindo kutokana na kuwa ndicho chama ambacho bado kinakubalika Tanzania kutokana na kuonyesha kwa vitendo kuwajali wananchi.
 Maelfu ya wananchi wakiwa wamefurika kwenye viwanja vya stendi, katika mji mdogo wa Katoro, Kinana alipohutubia mkutano wa hadhara katika mji huo mkoani Geita leo
 Baadhi ya wananchi wa mji mdogo wa Katoro wakiwa wamepanda hadi kwenye majengo ili kuweza kumshuhudia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipohutubia mkutano wa hadhara katika eneo hilo mkoani Geita,leo
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimia na 'msela' wa mji mdogo wa Katoro, aliyefuata meza kuu, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji huo mdogo mkoani Geita leo
 Mbunge wa Busanda, Lorencia Bukwimba, akisalimia wananchi katika mkutano huo wa Kinana uliofanyika katika mji mdogo wa Katoro mkoani Geita leo
 Mbunge wa Viti Maalum Vicky Kamata akisalimia wananchi katika mkutano huo wa Kinana uliofanyika leo katika mji mdogo wa Katoro mkoani Geita
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kulima barabara katika kijiji cha Nyakanga, katika jimbo la Busanda, mkoani Geita, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM mkoani humo leo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. Kushoto ni Mbunge wa Busanda Lorencia Bukwimba.
  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. Kushoto ni Mbunge wa Busanda Lorencia Bukwimba.
  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. Kushoto ni Mbunge wa Busanda Lorencia Bukwimba.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana azungumza na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo..
Mbunge wa Busanda Lorencia Bukwimba akisalimia wananchi kwenye mkutano huo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasili katika Kijiji cha Chikobe,  kukagua ujenzi wa Ofisi ya CCM na kuzungumza na wananchi katika kijiji hicho jimbo la Busanda
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi katika kijiji hicho cha Chikobe
 Kinamama wa kijiji cha Chikobe wakimshangilia Kinana alipozumgumza na wananchi katika mkutano wa hadhara
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumzana wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Chikobe, katika jimbo la Busanda mkoani Geita leo
 Mbunge wa Busanada Lorencia Bukwimba akisalimia wananch katika mkutano huo wa Chikobe
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasili katika kijiji cha Nyakanga, jimbo la Busanda mkoani Geita ambapo wananchi walimlaki wa nderemo na vifijo
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa Kijiji cha Inyala, katika Jimbo la Busanda mkoani Geita, leo
 Wananchi katika ijiji cha Nyakanga jimbo la Busanda wakimshangilia Kinana alipohutubia mkuano w hadhara katika kijiji hicho leo
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum Vicky Kamata alipowasili katika kijiji cha Nyakanga, kuanza ziara yake katika jimbo la Busanda mkoani Geita leo
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Nyarugusu, ambako alipokea malalamiko kuhusu wananchi kunyimwa eneo la kufanya uchimbaji mdogowa madini huku serikali na mwekezaji wakiwa hawalitumii eneo hilo kwa zaidi ya miaka mitano sasa.
 Kijana akionyesha machejo wakati kikundi cha ngoma ya Baswezi kilipotumbuiza kumpokea Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, katika kijiji cha Nyan'kanga, jimbo la Busanda mkoani Geita leo
 Nyumba ya Mganga inayoendelea kujengwa katika Kijiji cha Inyala, jimbo la Busanda  mkoani Geita
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupiga lipu nyumba hiyo ya mganga wa Zahanati ya Kijiji cha Inyala katika jimbo la Busanda, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. .

 Umati wa wakazi wa Katoro wakiwa kwenye mkutano wa hadhara ndani ya mji mdogo wa Katoro mkoani Geita.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo mbele ya umati wa wakazi wa mji mdogo wa Katoro,alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa hadhara  Jimbo la Busanda, wilayani Geita, Mkoa wa Geita.
  Sehemu ya umati wa watu waliofurika katika mkutano wa hdhara uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Kinana katika Mji Mdogo wa Katoro, Jimbo la Busanda, mkoani Geita leo.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana Mbunge wa viti Maalum mkoa wa Geita,Vick Kamata wakielekea  katika mkutano wa hadharakatika Mji Mdogo wa Katoro, Jimbo la Busanda, mkoani Geita leo. 
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi  Nape Nnauye akizungumza jambo na mmoja wa wakazi wa Katoro,wakati wa mkutano wa hadhara mkoani Geita.
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO-CCM BLOG

No comments:

Post a Comment