Thursday, July 30, 2015

LOWASSA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS KUPITIA CHADEMA LEO

Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa pichani akiwapungia wanachama na wafuasi mbalimbali wa chama cha CHADEMA waliofika kumshuhudia akiwa sambamba na Mkewe Mama Regina akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde ,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi karibu,jijini Dar es Salaam. 
 Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa akiwa sambamba na Mkewe Mama Reginal akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde ,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi karibu,jijini Dar es Salaam.  
Rabsha za hapa na pale zilikuwepo kama uonavyo pichani wakati Mh.Lowassa akiwasili Makao Makuu ya CHADEMA  yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho.
 Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa pichani akiwapungia wanachama na wafuasi mbalimbali wa chama cha CHADEMA waliofika kumshuhudia akiwa sambamba na Mkewe Mama Regina akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde ,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi karibu,jijini Dar es Salaam. 
 Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa akiwa sambamba na Mkewe Mama Reginal akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi karibu,jijini Dar es Salaam. 
 Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa akisalimiana na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Mh. Tundu Lissu wakati alipofika kwenye Makao Makuu ya Chama hicho tayari kwa kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia Chama hicho. Kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe.
 Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Salum Mwalim akizungumza jambo katika kikao kifupi ndani ya Ofisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, kwenye makao Makuu ya Chama hicho, Kinondoni jijini Dar es salaam leo.
 Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe akisisitiza jambo kwa Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa.
 Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mwanahabari, Said Kubenea wakati akiwasili kwenye Makao Makuu ya CHADEMA, Kinondoni jijini Dar es salaam leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe na wa pili kushoto ni Mke wa Mh. Lowassa, Mama Regina Lowassa.
 Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa na Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.
 Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akiteta jambo na Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe.
 Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA - Zanzibar, Salum Mwalim.
 Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Mh. Tundu Lissu akitoa ufafanuzi wa kisheria wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi fomu ya kuwania Urais wa Tanzania, Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa.
 Sehemu ya Viongozi mbali mbali wa CHADEMA wakiwa kwenye shughuli hiyo.
 Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Mh. Tundu Lissu akifafanua jambo.
 Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe akimkabidhi Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kupia Chama hicho, Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa
 Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akionyesha Fomu ya Kuwania Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, leo kwenye Makao Makuu ya Chama hicho, Kinondoni Jijini Dar.
 Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akipokea fedha za kuchukulia Fomu ya Kuwania Urais kutoka kwa WamaCHADEMA waliojitolea kumlipia.
 
Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza jambo na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Mh. Tundu Lissu. 
 Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza machache mara baada ya kuchukua Fomu ya Kuwania Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
 People'ssssss..........
 Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe akizungumza machache.
 Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akionyesha Fomu kwa wanaCHADEMA waliofurika kwa wingi kwenye Makao Makuu ya CHADEMA leo. Wengine pichani toka kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe, Mama Regina Lowassa na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-Zanzibar, Salum Mwalim.














Saturday, July 25, 2015

LEMA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA NA JOYCE MUKYA

SAM_4216Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akizungumza katika uchaguzi wa kumpata Mbunge pamoja na Mbunge viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA)jijini Arusha ambapo aliibuka kidedea kwa kura 255 sawa na asilimia 93.06% (Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
SAM_4210Mbunge viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Joyce John Mukya alipata kura 39 sawa na asilimia 73.6% katika kinyang'anyiro hicho hivyo kumfanya kuwa Mbunge wa viti maalum,aliwataka wajumbe wa mkutano huo kuvunja makundi ili kuhakikisha chama kinashinda katika uchaguzi wa Urais,Ubunge na udiwani 
SAM_4212 Mgombea kupitia chama cha Demokrasia na maendelao (CHADEMA)Noel Olevaroya akizungumza mara baada ya kutangazwa kushika nafasi ya pili  kwa kupata kura 13 sawa na asilimia 4.74% katika kinyang"anyiro hicho ambapo aliwashukuru wajumbe wa mkutano huo na kuhaidi kumpa Mbunge Lema shilingi laki tano kwaajili ya kampeni ya kuhakikisha  chama hicho kinapata ushindi wa kishindo
SAM_4147Wagombea ubunge viti maalum Mkoa wa Arusha wakisubiria kuingia kujinadi kwa wajumbe wa mkutano
SAM_4214Mgombea nafasi ya Ubunge,Nsajigwa Mwakatobe aliyepata kura 6 sawa asilimia 2.18% akiwashukuru wajumbe wa mkutano pamoja na wanachama wa chama hicho
SAM_4208PIPOOOOZ!Mgombea nafasi ya Ubunge viti maalum Grace Macha alipata kura 3 katika kinyang'anyiro hicho , akiwashukuru wajumbe wa mkutano huo na kuhaidi kushirikiana nao 
SAM_4142Wajumbe wa mkutano huo
SAM_4195Taswira  katika mkutano huo
SAM_4207
Mgombea nafasi ya Ubunge viti maalum Glory Bernad akishukuru katika mkutano huo
SAM_4201Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akisaini fomu ya uchaguzi,pembeni ni Mbunge wa Rombo na mwenyekiti wa uchaguzi huo Joseph Selasini
SAM_4194Mbunge wa Rombo na mwenyekiti wa uchaguzi huo Joseph Selasini akitaja washindi katka kinyang'anyiro hicho
SAM_4198Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akiwa na mtoto wake aliyemkimbilia mara baada ya baba yake kutangazwa mshindi katika uchaguzi huo
SAM_4222Wajumbe wakimshangilia Mbunge viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Joyce John Mukya 
SAM_4196
SAM_4152