Saturday, September 19, 2015

Dkt. Shein Aendelea na Kampeni, asema Ataendeleza Kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa na Kuleta Maendeleo

Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia Chama cha Mapinduzi pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi wa CCM Zanzibar alipowasili katika viwanja vya Mpira Konde Kisiwani Pemba kuendelea na Kampeni Kisiwani Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akiwasalimia Wananchi waliofika katika uwanja wa kunde kuhudhuria mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein.wakati akiwasili katika viwanja hivyo vya mpira Konde Wilaya ya Micheweni Pemba.
Wanachama wa CCM Wakimshangilia Mgombea wao wa Urais Dk Shein, wakati akiwasili katika viwanja vya mpira Konde kwa ajili ya mkutano wake wa Tatu wa Kampeni zake kisiwani Pemba.
Taswira ya wakati wa mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais kupitia CCM katika viwanja vya mpira Konde Pemba kama inavyooneka Mwanachama huyu wa CCM akishangilia akiwa na picha ya Mgombea Urais wa CCM Dk Shein.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazini Pemba Ndg Hamad Mberwa Hamad akiwahutubia na kutuoa Sere za CCM zilivotelekezwa na kuiletea Maendeleo Zanzibar katika kipindi chake Dk Shein cha miaka mitano na kuwataka kumpa kura kwa mara ya pili kuendeleza mafanikio ya Maendeleo Zanzibar katika sekta mbalimbali za Jamii 

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein akiwana na Viongozi wakifuatilia mkutano huo wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira Konde kisiwani Pemba ikiwa ni mkutano wake wa tatu kisiwani Pemba akiwa katika kampeni zake.
Katibu wa Idara ya Uenezi Afisi Kuu Zanzibar Ndg Waride Bakari Jabu akiwahutubia Wananchi wa Konde katika mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein uliofanyika katika uwanja wa mpira Konde Kisiwani Pemba.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Ndg Khadija Aboud akiwahutubia Wananchi na Wana CCM kisiwani Pemba wakati wa Mkutano wa Kampeni ya Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Kisiwani Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein akiwahutubia Wananchi katika viwanja vya mpira Konde Kisiwani Pemba akiwa katika kampeni yake na kuwataka Zanzibar kukipigia kura Chama cha Mapinduzi kwa maendeleo na kudumisha Amani na Utulivu kwa Wananchi wake kwa maendeleo. 
Viongozi wa Jukwaa kuu wakimsikiliza Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, wakati akiwahutubia Wananchi wa Konde Pemba Wilaya ya Micheweni akiwa katika mikutano yake ya kampeni kisiwani Pemba.
Wazee wa CCM Wilaya ya Micheweni wakiwa katika viwanja vya mkutano wa kampeni ya Urais wa Zanzibar wakimsikiliza Dk Shein wakati akiwahutubia na kutowa Sera za CCM kwa wananchiwakati wa mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya mpira Konde Wilaya ya Micheweni Pemba.
Wanachama wa CCM wakimshangilia mshangilia Mgombea wa Urais Dk Shein, wakati akiwahutubia Wananchi wa Wilaya ya Micheweni akiwa katika mikutano yake ya Kampeni Kisiwani Pemba.
Mwana CCM Pemba akishangilia wakati wa mkutano huo wa kampeni ya Urais wa Zanzibar katika viwanja vya Konde Pemba.
           Wananchi wakiwa katika viwanja vya mkutano Konde wakifuatilia mkutano huo.

Wanachama wa CCM wakiwa katika viwanja vya mpira Konde wakimsikiliza Mgombea Wao akiwahutubia katika mkutano wa Kampeni ya CCM Pemba.

            WanaCCM wakishangilia wakati wa mkutano huo katika viwanja vya mpira Konde Pemba.

Viongozi wa Jukwaa Kuu wakisimama wakati Dk Shein, akienda kuwahutubia Wananchi wakati wa Mkutano wake wa Tatu wa Kampeni Kisiwani Pemba uliofanyika katika viwanja vya mpira Konde Wilaya ya Micheweni Pemba.

Mgombea Urais wa Zanzinzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akijiandaa kuwahutubia Wanachama wa CCM katika viwanja vya mpira Konde Kisiwani Pemba akiwa katika mikutano yake ya kampeni Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akiwahutubia Wananchi katika viwanja vya mpira konde kisiwani Pemba akiwa katika kampeni za kuomba kura kwa Wananchi kuendelea kuongoza Zanzibar kwa kipindi cha Pili ilin kuendelea maendeleo kwa Wananchi wa Zanzibar na kudumisha Amani na Utulivu kwa wananchi wake,
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa Wananchi wa Wilaya ya Micheweni Pemba wakati wa mkutano wake wa Kampeni na kuwataka kuichagua CCM kuzi kuwaletea maendeleo katika miradi mbalimbali na kuendelea kuongoza Zanzibarb kwa misingi ya Sheria na haki kwa maendeleo ya Wazanzibar.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akimtambulisha Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Konde Ndg Omar Seif Abeid, wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akimtambulisha Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Tumbe Ndg Ali Khamis Bakar, wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akimtambulisha Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Micheweni Pemba, Ndg Shamata Shaame Khamis,, wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akimtambulisha Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Wingi Pemba Ndg.Said Omar Said, wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akimtambulisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Wingwi Pemba, Ndg Khamis Shaame Hamad, wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akimtambulisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Konde, Pemba, Ndg Ramadhani Omar Ahmed, wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akimtambulisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tumbe Pemba, Ndg Rashid Kassim Abdalla. wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akimtambulisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Micheweni Pemba, Ndg Khamis Juma Omar, wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Pemba.
Wananchi wakishangilia wakati wa kuwatambulisha wagombea Ubunge na Uwakilishi na Udiwani wa Wilaya ya Micheweni Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk. Shein akiwatambulisha Wagombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Micheweni Pemba wakati wa mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar katika viwanja vya mpira Konde Pemba. 
Wananchi wakishangilia wakati wa kuwatambulisha wagombea Ubunge na Uwakilishi na Udiwani wa Wilaya ya Micheweni Pemba.
Shekh akisoma dua baada ya kumalizika kwa mkutano wa kampeni ya Urais wa Zanzibar uliofanyika kastika viwanja vya mpira Konde Pemba Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akiondoka viwanja vya Konde Pemba baada ya kumaliza mkutano wake wa tatu wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira Konde Pemba, akiongozania na Viongozi wa CCM.
Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspot. Zanzinews.com 

No comments:

Post a Comment