Thursday, September 10, 2015

CHAMA CHA WANANCHA CUF CHAZINDUA KAMPENI ZANZIBAR

  Mgombe Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF) Mhe. Maalim Seif Sharif Hamadi akipiga makofi kuashiri Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi katika viwanja vya Kibanda maiti Mjini Zanzibar.
 Muimbaji Abdallah Issa akitumbuiza katika uzinduzi wa Kapeni uliofanyika Kibanda Maiti Zanzibar.
 Sehem ya Meza Kuu.
  Badhi ya wananchi wakifuatilia Mkutano huo
 Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema Mhe. Edward Lowasa akiwasalimia Wazanzibari na kuomba kura zao katika uzindizi wa kampeni uliofanyika viwanja vya kibanda maiti Mjini Zanzibar.
Mgombe Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF) 
Mhe. Maalim Seif Sharif akiwahutubia wananchi waliofanyika kwenye uzindu wa kampeni.

No comments:

Post a Comment