Friday, July 17, 2015

MWANASHERIA LUSAJO WILLY AJITOSA UBUNGE KINONDONI

 Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akijaza akiwa na fomu yake mara baada ya kuchukua katika Ofisi Kuu ya CCM wilaya ya Kinondoni leo. 
 Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akichukua fomu ya kuwania jimbo hilo kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Othuman Salum Shesha  jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
 Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akichukua fomu ya kuwania jimbo hilo kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Othuman Salum Shesha  jijini Dar es Salaam. 
 Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akipeana mkono na Katibu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Othuman Salum Shesha.
 Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akijaza fomu. 
 Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akijaza fomu. 
 Katibu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Athuman Salum Shesha akitoa maelezo muhimu kwa mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akijaza fomu. 
  Katibu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Athuman Salum Shesha akikabidhi fomu kwa mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy. 
Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akisalimiana na wadau mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni. 
  Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akiwa na wapambe waliomsindikiza kuchukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kinondoni.

No comments:

Post a Comment