Tuesday, October 20, 2015

ZIARA YA WANAJESHI SONGWE

 handisi Mshauri wa Mradi wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Khalil Jadallah akibadilishana mawazo na Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Khamisi Amiri wakati wa ziara ya Maofisa  Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa chuo cha Arusha (College of Senior Commandants- CSC) katiika kiwanja hicho Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga.
 Naibu Mkuu wa Chuo cha Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa chuo cha Arusha (College of Senior Commandants- CSC), Meja Jenerali Alfred Kapinga (kushoto) akisaini kitabu cha wageni alipowasili kwenye ofisi ya Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya jana Oktoba 15 na ujumbe wake wa maofisa 30 wa chuo hicho kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga.
  Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Khamisi Amiri akiwaongoza Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa chuo cha CSC Arusha (College of Senior Commandants- CSC) kutembelea kiwanja hicho Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga.
 Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Khamisi Amiri akiwaongoza Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa chuo cha CSC Arusha (College of Senior Commandants- CSC) kutembelea kiwanja hicho Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga.
  Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Khamisi Amiri (katikati mbele) akiwaongoza  Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa chuo cha CSC Arusha (College of Senior Commandants- CSC) kutembelea kiwanja hicho Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga.  Kushoto kwake ni Mhandisi Mshauri wa Mradi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria la kiwanja hicho, Mhandisi  Khalil Jadallah. 
 Mhandisi Mshauri wa Mradi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Mhandisi Khalil Jadallah akiwaelezea Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa Tanzania wa chuo cha CSC Arusha (College of Senior Commandants- CSC) kuhusu jengo la abiria walipotembelea kiwanja hicho Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. 
 Mhandisi Mshauri wa Mradi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Mhandisi Khalil Jadallah akiwaelezea Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wanananchi wa Tanzania wa chuo cha CSC Arusha (College of Senior Commandants- CSC) kuhusu barabara ya kutua na kuruka walipokitembelea Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. 
  Muongoza Ndege wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Berti Ngowi akiwaelezea Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wanananchi wa Tanzania wa chuo cha CSC Arusha (College of Senior Commandants- CSC) kuhusu utendaji kazi wa kituo hicho walipotembelea kiwanja hicho jana Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga.
Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wanananchi wa Tanzania wa chuo cha CSC Arusha (College of Senior Commandants- CSC) wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya baada ya kumaliza ziara yao ya kutembelea hicho Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala  ya usafiri wa anga. 
 Inspekta Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto katika Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Inspekta Msaidizi James Waziri akiwaelezea Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wanananchi wa Tanzania wa chuo cha CSC Arusha (College of Senior Commandants- CSC) kuhusu utendaji kazi wa magari ya zimamoto wakati walipotembelea kiwanja hicho Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga.
 Naibu Mkuu wa Chuo cha Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa chuo cha Arusha (College of Senior Commandants- CSC), Meja Jenerali Alfred Kapinga akimkabidhi zawadi Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya,  Khamisi Amiri ikiwa ni kumshukuru kwa mapokezi mazuri wakati maofisa hao walipotembelea kiwanja hicho kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga jana Oktoba 15. Kushoto ni Ofisa Uendeshaji wa Kiwanja hicho, Jordan Chami.
 Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Khamisi Amiri akiwashukuru  Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa Tanzania wa chuo cha Maofisa Wanadhimu Arusha (College of Senior Commandants- CSC), kwa kutembelea kiwanja hicho jana Oktoba 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. Kushoto ni Naibu Mkuu wa Chuo cha Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa chuo cha Arusha (College of Senior Commandants- CSC), Meja Jenerali Alfred Kapinga.
 Naibu Mkuu wa Chuo cha Maofisa Wanadhimu wa Jeshi la ulinzi la Wananchi wa chuo cha Arusha (College of Senior Commandants- CSC), Meja Jenerali Alfred Kapinga akimshukuru Ofisa Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya, Jordan Chami baada ya kutembelea kiwanja hicho kwa ajili ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga jana Oktoba 15. Katikati ni Ofisa Uhusiano wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Godfrey Lutego.
Abiria wakiteremka kutoka kwenye ndege ya Fast Jet baada ya kutua katika Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya jana asubuhi Oktoba 15. 
(PICHA ZOTE NA MPIGA PICHA WETU).

No comments:

Post a Comment