Monday, March 21, 2016

PPF KANDA YA ZIWA IMEWAFIKISHA WAAJIRI SABA MAHAKAMANI KWASHINDWA KULETA MCHANGOYAO.

MENEJA MFUKO WA HIFADHI ZA JAMII PPF KANDA YA ZIWA, MESHACK BANDAWE, AMEWAFIKISHA MAHAMANI WAAJIRI SABA KWAKUSHINDWA KULETA MICHANGO YA WATUMISHIWAO.

AKIONGEA KATIKA SEMINA HIYO NA WAAJIRI WATAASISI MBALIMBALI JIJINI MWANZA BW.MESHACK BANDAWE,FAIDA ZINAZOTOLEWA NA MFUKO WA HIFADHI ZA JAMII KANDA YA ZIWA ALISEMA MFUKO WA HIFADHI ZA JAMII UMEFANIKIWA KUKUSANYA ZAIDI YA BILIONI TISA.AMBAPO PIA WAMEFANIKIWA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI WAAJIRI SABA WALIOSHINDWA KUWAKILISHA MICHANGO YAO YA ZAIDI MILIONI 500.

KATIKA SEMINA HIYO MENEJA WA MFUKO WA HIFADHI ZA JAMII AMESEMA HAYUKO TAYARI KUMFIKISHA MAHAKAMANI MUAJIRI YOYOTE ENDAPO TU ATATEKELEZA WAJIBUWAKE.

PIA AMEWAMBA WAJIRI WAACHE KABISA KUCHELEWESHA MICHANGO KWANI NIHAKIYAMSINGI KUPELEKA MICHANGO KWANI WATUMISHIWAO WANAWAFANYIKA WAWEZEKUPATA MAFAO YAO KWAWAKATI.
Baadhi ya wateja wakichangia hoja  katika semina hiyo.
 bi.Happines Manyenye,akitoa maswali kwawateja wake wa mfuko wa PPF jijini Mwanza.

 Bw.Mashack Bandawe,meneja wa PPF kanda ya ziwa akieleza faida za mfuko wa hifadhi za jamii PPF jijini Mwanza.
Maafisa wa mfuko wa ppf wakiwa kwenye semina jijini Mwanza. 
Meshack Bandawe akionyesha huduma mbalimbali PPF inazozitoa hapa nchini. 







 Taasisi mbalimbali wakiwa katika semina iliyoandaliwa na PPF.